@ayshabayun90144 years agoSafi sn bibi yk tiffah do something that makes you happy. Love u zari. 5
@
@zimuzordera4 years agoWarogwe ndio mzuri ili waache kuwa nataja uchawi au kurogwa kila mara, ujinga mtupu tu. Ndo hivo wanaamshaga mizimu mahali zinalala zikisha wajia wanaanza. ...Expand
@
@joyanambuya36954 years agoHao. Watutu huwo jamani zari. Yupo sahihi na mam dangote yupo sahihi hila ss watanzania atuachi kiherehere si tuwaache na maisha yao jamani fatuma hata kwenu hilo swala lipo. Mam au bibi anaweza kumpend mtot moja. ...Expand2
@
@queennanalexabrembo74454 years agoDa tuma leo mm ni wakwanza naitaj lnk zenu jaman. 1
@
@felistersmejumaa51884 years agoZari uzee wakusumbua zeeka pole na wacha kujipendekeza kwa familia.
@
@pamelaakinyi47694 years agoKwani munamlazimisha mama dangote kupost mtoto wa hamisa. 3
@
@fofonadia36574 years agoNdomana sipendi anakauli mbaya kwa watu.
@
@roseatieno66914 years agoZari hawezi rogwa wakati yeye ndo mganga pamoja na mume wake marehemu. Hataree. 3
@
@ROSEROBERTROBART4 years agoZari hajataja mtu, kwani hamisa ni mchawi, nynyi mna mambo. 6
@
@mariyammariyam72094 years agoWacha kuamini mambo ya kishirikiana ww mtoto wa kislamu na wajuwa kuna mungu iweje bibi kumroga mjukuu wake.
@
@fetychina32734 years agoMh! Diamond kuwakomoa zari awe wakwanza hamisa wapili ili wafyate mikia yao.
@
@hadijasaidi77094 years agoJamani ukoo huu pasua kichwani huu udunia dunia huu utawapeleka pabaya wasiwaloge watoto wa bakharesa wamloge mtoto wa ndomo kazi jamani. 1
@
@justinjoshua10594 years agoTuachini kelele, mama t hajamtaja mtu. Mwenye atajiisi ndomchawi. 5
@
@tarsilalukas65054 years agoAache uwongo. Mama daihamisa aisadii. Yeye siyo mondi. Amezaa na mondi ajazaa na. Mama dangote. Huyo zaridaimond. Akimrudia. Ajue amisa yupo tu. 5
@
@editakivuti58874 years agoZari ni wa freemason pamoja na diamond, let us continue following, hakuna kitu ya saitani ya bure.
@
@princessshannia42154 years agoHii dunia hakika hamisa ana nyota mbaya, yeye ni mabaya tukha. 6
@
@llgg10424 years agoMmmhh kumekucha ila mm sijaona tatizo balitu kitu cha mama dangote kumpost mjukuu sio tatizo bali nimapenzi ya mjukuu kwasabab zari ndo aliemfanya bal tu zari awe mpole kuliko kusem vibaya kwasabab hain maana. ...Expand
@
@reymattasweety94404 years agoYuko sahihi kusema atarogwa coz kuna macho mabaya yanayo mtazama na kuna midomo mibaya inayomsema vyote hivyo ni uchawiwa ndumba hausumbui coz huyu ana kuroga yulehabari yake. Lakini macho mabaya na midomo mibaya ufanye kazi kweli coz aliekudhuru ndie huyo anaetakiwa akutibie hapo chachaa. ...Expand3
@simonitaagesti36574 years agoWashindwe kulogwa watoto wa bakharesa au mo wajee kumloga huyo mtoto kwa kipi huyu bibi sa nyingine anamajivuno sijui angekua beyonce ingekuaje duh.
@
@azizasaleh66244 years agoJamani akumtaja mtunina nyie ndo mnakuzamambo mh atri.
@
@junuferjinu14444 years agoNyie mashabiki ndomna matatizo yy aja mtaja mtu mna jiisi. 1
@
@muanashaswaleh51104 years agoKwani wewe tuma kwanini huseme amisa huko tanzania hakuna wachawi kilasiku amisa punguzeni umbea. 1
@
@mercyganim40574 years agoHiyo ni kweri kabisa maana wake wenza ni sumu. Mimi niko na wake wenza na hatupendani kabisa. 1
@
@julianacharles60144 years agoUkimjuwa mchawi basi nawewe mwanga unawanga nae mshenzi huyo bibi.
@
@julianacharles60144 years agoAlijuwaje kama anarogwa kama nayeye siyo mchawi.
@
@mariacassian78924 years agoNdio mtamroga hasa maana nyota ya tifa sio ya huyo mtoto wa vi make up.
@
@michelinemapendo66524 years agoZari frimanson mukubwa kapana mumewake kafara frimanson anasahau? Sasa hamisa kapana wangapi? 1
@
@marynoella17524 years agoHuyo anaye kataliwa sikumoja atakuja kuwa wamana ndiyo mama dangote anasababu zake zakufanya ivo but ipo siku atatamani amu post nahitowezekana.
@
@bahatisunga16424 years agoShoneni midomo watangazaji maana nyie kwa umbea na uchonganishi hamshindwi hasa wewe tuma.
@
@reymattasweety94404 years agoWatu mkisikia kurongwa mnafikiri mtu mpaka aende kwa mganga!!!kuna kurogwa kwa husda ambacho ni kitu kibaya kuliko uchawi wa husda inatokana na macho ya watu.Tiffa ni mtoto mdogo anapowekwa mitandaoni kwa sana kuna macho ya wengi yanamtazama sasa kuna macho mema na macho mabaya.endapo yakimpata macho mabaya huo ndio uchawi wenyewe.Tiffa wetu atadhurika.Asiwekwe mitandaoni Midomo ya watu na macho ya watu yana mchawiya bure mtoto Tiffa.watu kusikia kurogwa akili zao zote zinafikiria uchawi wa karumanzira tuuuu basi. .....Expand2
@
@editakivuti58874 years agoPlz zari stop applying makeup to this kid utamwalibu ngozi, she is too young for this. 1
ila mm sijaona tatizo balitu kitu cha mama dangote kumpost mjukuu sio tatizo bali nimapenzi ya mjukuu kwasabab zari ndo aliemfanya bal tu zari awe mpole kuliko kusem vibaya kwasabab hain maana. ...Expand