Duration 37:29

LIVE MHE TUNDU LISSU AKIZUNGUMZA NA TAIFA KUTOKEA NCHINI UBELGIJI

34 115 watched
0
408
Published 8 Jun 2020

#ChademaMedia #Chadema

Category

Show more

Comments - 306
  • @
    @sundayharris85494 years ago Speech yako inamlenga mtu mmoja au chama kimoja na wala sio watanzania wote kama unavyosema. Ukumbuke sio watanzania wote ni wanachama wa vyama vya siasa, . ...Expand 1
  • @
    @mragahpallangyo62614 years ago Plan may change but purpose is permanent come back again the hero lissu, 13
  • @
    @zabronijoseph7284 years ago Safi nimefurai sana namkubari lisuu kula yangu umepata. 3
  • @
    @saidabdul36954 years ago Safi sana kamanda tunakuombea dua sana mkuu. 9
  • @
    @ayubusikagonamo38754 years ago Mh. Rais karibu nyumbani uje utukomboe maana hakuna aliyesalama. 6
  • @
    @abrahamhassan3514 years ago Good speech lissu kubwa tunalohitaji tanzania kwanza katiba mpya inayotokana na maoni ya wananchi ambao ni watanzania katiba hiyo iwe na faida na manufaa . ...Expand 16
  • @
    @sammysammy54834 years ago Mh tundu lissu kura nyingi 2020 safari yako niya matumaini san kanda ya kaskazinikama ni vita tuko tayari kuitoa ccm madarakani. 5
  • @
    @mwebraniablessed79674 years ago Mungu nawe milele. Ushinde kwa kishindo kinene. Unafiki uwatoke wanaojifanya hawakuelewi ila ndio wa kwanza kulalamika maisha magumu. Unafiki haujawahi . ...Expand 9
  • @
    @robartgershom73454 years ago Mheshimiwa lisu tunakutakia kilalaheri katika ndotohiyo. 6
  • @
    @papaagtz4 years ago Furaha yangu ya kwanza kuona bado unaishi hakika mungu ni mwaminifu sana. All the best kamanda.
  • @
    @magingijronlinetv29014 years ago Hujawahi niangusha kamanda. Bwana akubariki sana. Tunakuombea sanaa. 1
  • @
    @hamisiramadhani29714 years ago Umeongea maneno muhimu sana, hongera leo ndio nimekuelewa nami nahamia chadema kama utapewa ridhaa ya kugombea uraisi na chama chako, na kura yangu utaipata. 1
  • @
    @antonynyachi54554 years ago Mungu akubariki sana juu ya ndoto za zako za kuwania nafas hiyo ya urais 2020.
  • @
    @eliakanyika44224 years ago Huyu jamaa ameongea ila du! Ngoja nitulie mimi. 6
  • @
    @danielloyani50954 years ago Hongera kwa hotuba nzuri iliyogusa kila mtanzania. 7
  • @
    @willybayyo68064 years ago Come back, itd gods plan for you to lead tanzania. 15
  • @
    @saidabdul36954 years ago Tupo nyuma yako kamanda wangu wewe jembe unajua watanzania wana msada gani wewe kwahiyo utaenda kutengeza nchi matakwa ya watanzania. 6
  • @
    @linamakau61494 years ago Kama time ya uchaguzi haitakuwa huru kama ambavyo kwa sasa sio huru? Itajuwaje kwasababu kura utapata nyingiusalama wa mali yetu? Kura) 4
  • @
    @emmanuelntalima17174 years ago Unapongeza uongozi wa kikwete leo? Umesahau kuwa mlimuita dhaifu? Mkatamani nchi itawaliwe na mtu mkali? Mbona mnakuwa vigeugeu? 6
  • @
    @thedriver.michael.39754 years ago The day we see the truth and we don' t speak is the day we die" 1
  • @
    @dullaupepo97674 years ago Sasa takuunga mkono kama kapeni utafanyia nje tupo pamoja tutakuja huko belgium kukupa saport ya kampeni yapo mengi tu. 15
  • @
    @ngwasumasuzuki80044 years ago Baba nimekusikiliza vizuri sanaa animekuerewa tukopamoja. 8
  • @
    @emmanuelmwandambo11914 years ago Kweli kabisa tunatia huluma kura yangu inakuja kwako tumbe mungu mwana halakati namba moja tz. 1
  • @
    @leeaglepropeller45494 years ago Sikuu ya uchaguzi nambeba fasta mke wangu, mchepuko wangu, dem wang. House girl wangu, watoto wangu na familia yangu nzima adi paka na mbwa wangu wanisindikize kwenda kumpigia kura tundu lissu. 2
  • @
    @ramrashid78594 years ago Hongera kwa kuwa miongoni mwa watangaza nia lakini ingerudi tuu. Ila bado sijasikia sela zako zaidi ya madhaifu yaserikali. 1
  • @
    @getuproty85404 years ago Karibu kaka, kura zoteazidi kukulinda kama alivyokulinda na sasa unaishi.
    acha mungu aitwe mungu. Hakuna wa kumshinda.
  • @
    @ibrahimmwendo50764 years ago Urais haupati wewe. Magu anatosha unanimalizia mb. Zangu kwenda zako fyuuu eti urais watakupa kura hao majuha wenzio. 7
  • @
    @sammysammy54834 years ago Kura yangu huwezi kosa na familia yangu kila la kheri nimekumic san mara ya mwisho kukuona ulipokuwa nchin kenya ukiwa unatibiwa nikakuombea mungu na umepona your welcome tz my president. 7
  • @
    @amotowntz63814 years ago Tundulisu raisi wa jamuhuri ya muungano wa tanzania, kura yangu me ni yako. 9
  • @
    @nicolausnicolaus7344 years ago Lisu njoo huku wanani tulio wengi hata chai ishagoma niubabe tu tumemchoka wajaja mapoyoyo ndoo bado. 10
  • @
    @adrianbloodjesus60674 years ago Hayo ni maneno tu magufuli anakubalika bhana hana upinzani, tena magu anapita kwa 90% ya kura. 9
  • @
    @ceciliajimmy56524 years ago Nauona umuhimu wa kuwa na watu wenye uzalendo hata wanapokumbana na matatizo wanabaki imara, hawakati tamaa mungu awabariki wote wenye mapenzi mema. 1
  • @
    @mohamedturanardan88714 years ago Naomba kwa nia safi ukawa (ukitoa cuf wanafiki) waliobaki, kaeni pamoja muunde timu madhubuti, chama mlichokuwa na wasiwasi nacho kama cha mbatia achaneni nacho, nendeni kitim msiende mmoja. Plz. Kura mtazipata nyingi. 1
  • @
    @petermkoma76374 years ago Mungu akupe maisha marefu we mtu ili kizazi hichi kikuelewe.
  • @
    @malkavoice25704 years ago Huu mwaka lazima nipige kura, yakwangu unayo mheshimiwa nimekupitisha tyr wewe ni rais 2021. 12
  • @
    @balikiwakibona80304 years ago Kwa kweri lissu mungu akulinde wewe ni raisi. 4
  • @
    @jacksonpeter38404 years ago Unafaa sana kugombea uenyekiti chadema.
  • @
    @deogratiasmassawe45434 years ago Amn mng atbrk mwenyew myonge myongen hk yk mpemn. 1
  • @
    @ngulukofundy20124 years ago Tatizo ni tume huru baba angu hutuba yako imenitoa machozi. 2
  • @
    @rashidubruhani89814 years ago Uchumi wa nchi unapaa ww hacha ushamba nchi iko vzr sana hii.
  • @
    @jacksonpeter38404 years ago Urais wa tz mzee ni ndoto za mchana yupo jpm baba lao acha ww labda wakupe urais wa ubelgiji. 1
  • @
    @masrergaudens39674 years ago Kura utapata nyingi sana lakini hatuna hakika kama zitahesabiwa na kutangazwa. 7
  • @
    @deogratiasmassawe45434 years ago Kiukwel kura yamg nimuhm xn kwak nimekuatilia tangu ukiw mautut mpk ss unasimam nakupaz saut lisu oyeee. 8
  • @
    @jacsonmahende20284 years ago Uongozi ni kupokezana lisu anatosha kwanza ni mwanasheria atatusaidia ktk kesi. 1
  • @
    @rashidubruhani89814 years ago Mjoo msema ovyo haujui hata la kusema tunataka kiongozi baada ya jpm wa kuendeleza nchi siyo ww unataka tena kuturudisha nyuma tudai uhuru 61, unasifia . ...Expand 2
  • @
    @cuthbethajetu21484 years ago Kura yangu umeipata haina utata mheshimiwa. 7
  • @
    @muniruwahid66484 years ago Great leader tunakusapoti kwa nguvu zoote. 4