Mjane wa Marehemu Dkt. Reginald Mengi, Jacqueline Mengi ameibuka na kueleza kwa ushahidi wa ripoti ya daktari kuwa mumewe hakuwa amechanganyikiwa. Hatua hiyo imekuja baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuukataa wosia uliokuwa ukidaiwa kuandikwa Mengi
/watch/QrDl22jtOfJtl