MIRATHI YANAYOTISHA
Idadi ya wanadamu inavyoendelea kuongezeka, wanaonekana kusongea karibu na mazingira wanamoishi wanyama pori, hatua ambayo imewaacha wanadamu katika kinyang’anyiro cha kuishi, kati yao na wanyama pori, athari za wanyama hawa kwa wanadamu, mifugo na hata mazao ya mashamba zikijidhihirisha. #TV47News
Category
Show more
Comments - 0
Related videos for MIRATHI YANAYOTISHA: Kinyang’anyiro kati ya wanyama pori na binadamu: